Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda kuna TITI kama CHUCHU au KIPELE kama JIPU , na hiyo LABDA sio STORI katika HADITHI hii !:-(

>> Saturday, June 20, 2009

KUMBUKA,...
...ujanja wa KANISANI sio UJANJA wa MSIKITINI ingawa zote ni IMANI:-(


Kumbuka,...
....UJANJA wa kanisani labda niwa SADAKA!:-(


Kumbuka,...
..... Ujanja wa MSIKITINI aujuavyo SIO wewe na ni SHEKHE ajuaye ndio maana akiamua UTABINUKA kwa IMANI na ukibinuka kwa kweli hiyo ni staili ya SALA na yote ni IMANI!


Kumbuka,....
...LABDA kanisani AU msikitini kama ungekuwa MJANJA ungestukia kuna WATU wanatibu hukohuko MPAKA ya UCHI kama tu CHUMBANI kama wewe ni mjanja chumbani na unajua mpaka ujanja wa MIGOMBANI na UNAKIBURI katika KUNG'ANG'ANIA nanihii hata kama hiyo haina KISHIKILIO!:-(



Swali:

  • AU?

Halafu NI KWELI,....
.... labda ujanja wa TITI ni CHUCHU la sivyo hakuna KINYONYEO!:-(

Na stori hii haina uhusiano na TITI wala CHUCHU na bado hili si kielelezo cha naongea nini.:-(

Swali:
  • AU?

Ok ngojea niache KUONGEA !
Mtaalamu samahani kama NAKUKWAZA !:-(


Au ngojea tena BURNING SPEAR aongelee UZOEFU katika- This Experience:-(




Au turudi tena TU AFRIKA KUSINI Arthur MAFOKATE agune katika - OYI OYI...

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mzee wa Changamoto 1:31 am  

Hahahahaaaaaaaaa. Simo

Simon Kitururu 9:05 am  

:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP