Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ushawahi KUTHUBUTU?

>> Saturday, June 27, 2009

Na,....
..... hapa siongelei swala la KUTHUBUTU kwako KUNYA,(samahani kwa lugha ya faragha), namaanisha kwenda HAJA KUBWA, kwa kuwa hata KUKOJOA(samahani tena kwa lugha ya matusi), namaanisha hata HAJA NDOGO unafanikisha ukiwa PEKE yako CHOBISI shwari.:-(


Ukitaka kujihakikishia una nguvu za KUTHUBUTU,...

.... jaribu KUTHUBUTU angalau KUJAMBA mbele za WAHESHIMIWA au WAGENI ambao HUJAWAZOEA kwa MAKUSUDI!:-(

Swali:

  • AU?

Kuna uwezekano LABDA kama UNGETHUBUTU sasa hivi usingekuwa unanisoma na ungesha JIUA zaaamaniiiii HATA kwa kula sana hata MAGIMBI au tu kwa kudai kama nidaivyo MAISHA MAGUMU!:-(

DUH!

Swali:
  • Au?

Thubutu lakini kama unataka kuwa WEWE na sio kuwa WATU wakufikiriavyo wewe kama tu MUUZA SURA kwakuwa una BOMBA la PUA ingawa MWANIWANE una MIAKILI MINONO na TABIA KIJEBA!:-(

Swali:
  • Unafikiri kama wajidanganyao KUWA NI wazuri wauzavyo sura , UNAFIKIRI wewe huuzi tabia INGAWA unamaaeneo mazuri KIFICHONI yenye TABIA MBAYA YAKITEKENYWA hata kama BADO yana nywelenywele NJOLINJO?
OK Bingwa nikiacha KUKUZINGUA na UJINGA;
SWALI:
  • Unauhakika umewahi kuthubutu na bado ukabakia MASIKINI?

NAACHA wazo BINGWA!:-(

Ngojea TUKAECHINI ili TUJIFUNZE watoto WADOGO wanasemaje kuhusu KULA KONI katika-Oral Sex the New Goodnight Kiss...


Au tu tusikilize utunzi wa Michael Jackson na Lionel Richie katika-WE ARE the WORLD..


KWA MARA nyingine ASANTENI WOTE! Mkiwemo hawa kwenye picha zangu za juzi ya MTONDOGOO....

Photobucket

Photobucket


Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket


Photobucket


Photobucket



Photobucket


Photobucket


Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 4:19 pm  

Duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh duh.....!!!

Yasinta Ngonyani 4:34 pm  

kweli Duh! kazi kweli kweli:-(

Mzee wa Changamoto 1:53 am  

Swali
Au:-(
Hivi kama mwili waendeshwa na maji, damu ama @om*e? Na kwanini picha za "chinyaji" ndio waonekana kuwa na "batasamu" la kutoka moyoni?
Au nauliza jibu?
Nimenogewa na huyo mwenye Canon EOS maana kwangu hiyo ndio kama hiyo uliyoishika hapo. LOL

Simon Kitururu 8:21 am  

@Wote: DUH!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP