Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama kuna FAIDA za KUISHI na KINYONGO!

>> Wednesday, June 17, 2009

Kinyongo kama tu KULAANIWA,...
.... Laana haimtesi ALIYELAANIWA na KIMPACHO laana MTU ni KUISHI NA LAANA.:-(

Ni kweli,...
.... KUISHI NA KITU ndio KASHESHE na kukifanya kitu ni rahisi hasa kama hufikirii kuwa itabidi uendelee kuishi UKIJUA ni kweli ULIFANYA KITU naKATIKA KUFANYA kumbuka WENGINE wafanyacho ni KUUA!:-(

Kama unakinyongo na mtu ,...
.... wewe unateseka na KINYONGO na wala sio huyo MTU.

Na kama unakinyongo na MTU,...
..... na unataka USITESEKE na KINYONGO, basi usiishi na KINYONGO.

Swali:

  • AU?
KUMBUKA hili NI wazo tu Kingunge!

Ngojea Barbara Kanam aongelee ya - Teti


Au tupitie tena Cape Verde Talina alete - Pour Te Revoir

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP