UNAKUMBUKA katika yote uliyowahi KUJIFUNZA moja wapo ni JINSI ya KUVAA CHUPI a.k.a KIFICHA NYETI?
>> Monday, June 15, 2009
Na ni kweli,...
...... HUTUKANI kama HUKUJIFUNZA tusi NI NINI!:-(
Na,..
...kuna MENGI unayoendelea KUJIFUNZA SASA HIVI ambayo hatuyajui na labda HUYAJUI kwa kuwa hayo si maarufu LEO kwa BINADAMU na yake bin-adamu ya KUJIFUNZA maeneo na jinsi ya kutumia ENEO!:-(
NDIO,...
...huhitaji KUJIFUNZA KUNYA ingawa ni kweli KUNYA huhitaji TAALUMA kama unataka KUNYA VIZURI .
Na....
.... ni kweli kama unahisi unapatia KITU ,...
...LABDA kuna KITU unafananisha nacho ambacho kwako ni MAFANIKIO ndio MAANA kwako hilo ni fanikio na kama hujui,...
....kumbuka hata KWA hilo ULIJIFUNZA!:-(
NA NI KWELI kwa bahati MBAYA,..
...hata UJITAHIDI VIPI,...
.... bado utakufa huku kuna KITU HUJUI!:-(
Samahani NAKATIZA wazo!:-(
Ngojea turudi ANGOLA SAVIMBI aongee nisichoelewa na nisikufiche napenda Kipochugali mpaka nishadeti Wabrazili kadhaa kwa kisa CHA kunogewa tu na WAONGEAVYO Kipochugali.:-(
Na ni kweli sijawahi deti Mpochugali wa Pochugali:-(
SAMAHANI kwa kujielezea kubwa kuliko katika swala la faragha na lisilo na UJUMBE mzuri hata kwa KIFARANGA.:-(
Huyu basi Savimbi adanganye wananchi kidogo kama afanyavyo KIKWETE kama naye hakujifunza kwa NYERERE....
Au tu LEADBELLY atusaidie kubadili hali ya hewa kwa ambacho bado sikielewi ingawa naelewa LUGHA katika...-Goodnight Irene
ASANTENI wadau WOTE na hasa ambao hamnitengi kama hawa waliopo kwenye picha zangu za JUUUUZZZZZI ya JAANA!:-(
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/5a7e5f4d.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/731fbee9.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/4c85b3e8.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/71f540c6.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/013d4891.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/f4fbcbdb.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/50dd1ff7.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/7784457b.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/daea96e3.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/aeb833cc.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/95cb0ae7.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/f4fbcbdb.jpg)
![Photobucket](http://i12.photobucket.com/albums/a238/ManSimon/Papa%20ZAI/dc2efb6e.jpg)
4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
inaonekana ulikuwa na muda mzuri na pia una marafiki wengi. Safiii sanaaaa.
:-)
Mshikaji picha ya 5 toka juu aliharibu nini?
@Papaa Egdio: Nadhani ilikuwa maswala ya GIRL POWER tu!
Post a Comment