Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama UMESHAWAHI kuosha uchi,...

>> Monday, March 29, 2010




...kumbuka labda hicho KITU kimesha kupa uprofesa wa kuosha kitu chochote KILE.:-(




Swali:
  • AU?

  • Si unakumbuka CHOO KINUKACHO ni matunda ya kazi  za uchi hata zifanywazo kiheshima na MHESHIMIWA?




Ndio,...
... sikubishii HASA kama umeshawahi kufikiria WAKATI  ukipenga MAKAMASI ushikacho ni MAKAMASI.:-(




NAACHA MUELEKEO wa wazo nisije kugusia kugusia BURE mpaka nyanya za kachumbari uzipendazo zipendavyo kucheza na mbolea ilio oza kuliko kucheza na wewe.:-(

NI HILO tu na haki ya nani wazo hili la TARALILA halijafanyiwa utafiti wa kina  na limeruka vyoo vinukiavyo vizuri bila kunyunyiziwa manukato .:-(

JUMATATU NJEMA MHESHIMIWA!




Hebu tubadili kwa kwenda YEMEN kuwasikiliza wanawake washabikiao kuoongezea shughuli kwa watoto katika ndude-The right to marry as a child


Au hebu Marijani Raajab na Fresh Jumbe waangushe ndude - Masudi



Ndio,...
... aliyeandika taralila yenye neno lisilo LAKIHESHIMA kwa baadhi ya waheshimiwa ni huyuhuyu mimi kama HUYU MIMI aonekanavyo kwenye picha zifuatazo akijitafutia matatizo na halafu  akinunia MATATIZO baada yakustukia alivyojiongezea.:-(

Photobucket




Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket







Photobucket



Photobucket

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:37 pm  

:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP