Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Uhusiano wa UKE na UUME WA PANZI usipochanganywa na UHUSIANO wa PANZI MWANAUME na MREMBO panzi JIKE!:-(

>> Sunday, March 28, 2010

TUKIMGEUZA PANZI KUWA  nzige au  tu BIN -adamu MKUBWA,...
 ..... labda kuna BINADAMU anaweza kukumbushwa kwa HII TARALILA  kuwa  MWANAMKE na MWANAUME sio  UBINADAMU kwakuwa  pia kuna MBWA  MVULANA ingawa labda ni BINADAMU ambao  inabidi waoshe UANAUME au UANAUKE kwa kuwa wanamchezo kuwa wasipojiswafi watanuka zaidi ya KIKWAPA.:-(

SWALI banangenge:
  • Unauhakika UKE ungekuwa rafiki ya UUME kama PANZI asinge ugeuza kuwa ni MATUMIZI?


  • Unafikiri CHAKULA kinaupenda MDOMO WA PANZI hata kabla ya kugundua hata kisichokuwa nia ya panzi ni kugeuza CHAKULA CHA PANZI mavi?
  • Ushawahi kufikiria kuuangalia UKE WA PANZI kwa kuwa hata PANZI DUME havai chupi?

NI WAZO tu lililopinda MHESHIMIWA na kama umenisoma mpaka hapa SHAURI YAKO miye simo!:-(


JUMAPILI NJEMA MHESHIMIWA !



Ngojea Teddy Pendergrass adai - It Don't Hurt Now



Au tu The Isley Brothers warudie - Contagious



DUH Makassy MASIKIONI ananilazimisha niachie pia TENA  ndude-Mambo BADO

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP