Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HIARI IPO hata kama kwa HIARI atendwavyo MWINGINE yachokoza na kuchokonoa HURUMA YAKO kwa kuwa ANAVYONANILIWA hupendi!:-(

>> Monday, February 22, 2010





NDIO hata ubishe ,...
... katika KUNANILIU ,....
...kuna WANANILIWA pia ,...
.... ambao  WANANANILIWA VIZURI kwa bidii TU  kwa hiari yao wenyewe.:-(


Swali:
  • Kwani unafikiri  WATANZANIA katika kunaniliu a.k.a KUCHAGUA CCM na sio vyama vya UPINZANI unafikiri WENGI TU  hawafanyi hivyo kwa HIARI yao tu hata kama WEWE hupendi CCM Mkuu?

  • Kwani unafikiri  ni MANGAPI  utendewayo ambayo unasaidia WEWE MWENYEWE  yafanikiwe  UTENDWE VIZURI TU kwa faraja?

Kuna yalazimishwayo,...
.... lakini  HATA KAMA HUPENDI haiondoi ukweli kuwa kuna  WAUMIZWAO,...
... ambao yaumizayo  ni ya HIARI  KWAO.:-(


Kuna yalazimishwayo,...
....lakini hayohayo usipostukia hasa   KAMA WAUMIZWAO NI WAJANJA  unaweza kushabikia mchokonoo UNAOUMIZA bila kujua  kwa kuwa WAJANJA  wanaweza tu kutungia jina tofauti  MCHEZO wakati KITENDO NA  maumivu  ni YALEYALE.:-(

Swali:
  • Si unajua adhabu nyingi tu  wapewazo watu kama tu KURUKA KICHURACHURA ,  zikifanywa kwa HIARI wajanja HUZIBADILI JINA na kuziita  ni  MAZOEZI?

  • Si unajua KUBAKWA, na  MAMA WATOTO  kulazimika kuwa kiburudisho kwa baba watoto bila kuandaliwa   kwa kuwa baba watoto SAA HIYO  anataka kula mali zake alizozitolea MAHARI   ,kwa MDADA kunaweza kukawa na maumivu sawa kimwili ,  ingawa moja MDADA kabakwa MIGOMBANI na JINGINE ni  IMEBIDI KWA HIARI  mdada  avumilie MAHITAJI YA MUME WAKE kwa kutii MAFUNDISHO YA SOMI wake KWENYE UNYAGO kuhusu HIARI YA MWANAMKE ni MAAMUZI YA MUMEWE , na kwahiyo  haliitwi KUBAKA?




NIMEACHA !
HILI  ni WAZO tu MHESHIMIWA!
Jumatatu  NJEMA!


Au tu Jean-Claude Naimro na KASSAV wabadili tena kwa-Ave'w Doudou



Au tu JOCELYNE BEROARD wa KASSAV alete -Kay Manman




Au tu Jacob Desvarieux  na   KASSAV  wapoze pia zaidi kwa -Malad aw

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP