Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tukiangalia HALI HALISI ,labda HALIHALISI NDIYO inamlazimisha MKULIMA kuwa MKULIMA!:-(

>> Saturday, February 06, 2010

Labda HATA nesi kawa nesi,....
...... kwa kuwa hali halisi imefanya ahitajike nesi.


Na labda Mkulima angekuwa TANDIBOI ,....
.... kama KIHALIHALISI kungekuwa na basi KWA WAKULIMA lihitajilo TANDOBOI.:-(



Swali:

  • Unafikiri Ni wakulima wangapi wangekuwa na chaguo tofauti wangeamua kuwa wakulima?
  • Unauhakika pamoja na KIRUKA NJIA kupigwa vita , HALI HALISI ya uwepo wa KIRUKA NJIA hailetwi na hitaji kubwa la kidude cha Kiruka NJIA ?
  • Unafikiri ni kwanini Mtakatifu Simon Kitururu sio Mkulima?
  • Unauhakika kama wewe sio malaya , wee SI MALAYA kwakuwa TU hali halisi haijaruhusu tu?





Hali halisi yaleta shughuli,....
... na shughuli yenyewe yawezakuwa inahitaji MZIBUA choo.


Na ni HALI HALISI KUWA Mzibua choo KWA KAWAIDA anahitajika kwenye CHOO.:-(





NI HILO TU na NI WAZO TU hili Mheshimiwa Bulicheka!

Au tu turudi Kameruni Bebe Manga arudie-Mota Benamaa





Au tu Bebe Manga arudie tena na-Amio




Asanteni wadau wote hasa kwenye African Party mlionisaidia kwa muda fulani KUSAHAU kuwa DUNIA NYOKO , hii siku ambayo kwangu ilikuwa ni mara ya kwanza kula nyama ya Pundamilia ,- ambao baadhi mpo kwenye taswira zangu baadhi zifuatazo...







Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket









Photobucket







Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket










Photobucket





Photobucket



Photobucket






Photobucket





Photobucket








Photobucket



Photobucket






Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket



Photobucket

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mija Shija Sayi 3:30 pm  

Kitururu unajipenda jamani mwee!!

Simon Kitururu 3:34 pm  

@Da Mija: Nisipojipenda ntawezaje kumpenda jirani?

Si nasikia hushauriwa kuwa Mpende jirani kama ujipendavyo?

nyahbingi worrior. 6:56 am  

kwa kweli mkuu Simon umenishangaza kwa kutumia kisu na umma.

Naamini sote tulifundishwa kula kwa kutumia mikono.

Aliko 11:19 am  

Hehehe pamoja na Msosi wote huo,kisu umma na mazagazaga yote Bw Nyahbingi,Bw Kitururu hawezagi kula

Simon Kitururu 10:46 pm  

@Rasta Luihamu: Kama hili nalo linakushangaza basi naogopa kutafakari ni mangapi yanakushangaza Mkuu.


Miye nilichojua mwenyewe ni kunyonya tu , na nasikia nilivyosogezewa chuchu tu nikakaa mkao wa kunyonya maziwa mpaka na lala hapohapo kifuani .

Kulia mkono , vijiti , kijiko, umma na kisu nimeigilizia tu WALIONITANGULIA kustukia MISOSI a.k.a NGUNA baada ya kufumbuka macho na kuanza kunyimwa nyonyo na mama.:-(


Lakini bado mtazamo wangu ni :


... Umuhimu wa chakula ni kuliwa na sio jinsi au staili ya unavyoliwa.

Na kulia mikono ni luxury tu za wenye mikono kwa kuwa asiye na mikono hata kwa miguu ni bonge tu la staili ya kufikisha chakula mdomoni ili NGUNA a.k.a MSOSI ugwidwe.:-(

@Altunes: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP