Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwetu WAPARE ni starehe kutania WACHAGA! Lakini,.....

>> Friday, February 12, 2010

Naamini UTANI  wa makabila ni miongoni mwa vitu ambavyo vinakufa Tanzania.

Kisa kikubwa nafikiri ni kwasababu WATANI  wenyewe siku hizi hawajui historia ya wao kuwa watani inatokea wapi..

Leo nakiri  nimejikuta najikanyaga  baada ya kuulizwa  kuhusu utani wa makabila Tanzania.

Swali:

  • Je unajua historia ya mahusiano ya UTANI wa makabila Tanzania?

Ntairudia hii topiki  siku nyingine kwa sasa nazidi kuchimba historia ya  WACHAGA na WAPARE kuwa WATANI.

Ni HILO TU!

Au ngojea tubadili kwa kuwasikiliza Asian Dub Foundation wakileta - Riddim I Like




Au tu Asian Dub Foundation walete na - New Way New Life


Au tu Asian Dub Foundation wabadili zaidi kwa kukukumbusha - Truth Hides

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

o'Wambura Ng'wanambiti! 7:08 am  

Duh!

Unanipa homework nami ku-dig utani wa wakurya vs wahaya na wakurya vs wanyaturu/waniramba :-(

Nadhani Matondo atakuwa amemalisa kupata sababu ya wasukuma/wanyamwezi kuwa watani wa watu wa singida, dodoma, morogoro, Dar, Tanga, Zanzibar. Iringa, Lindi Mtwara na Ruvuma !

Nawaonea wivu kwa kuwa na watani lukuki :-(

Simon Kitururu 4:08 pm  

@Kadinali CHACHA: Kwanini wawaonea wivu ? Hivi kuna faida katika kuwa na watani wengi?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP