Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Asilimia ya HAMU yako kwa mtu wakati umtamaniye KIUTU ni MWANAMKE!

>> Tuesday, September 29, 2009

[Tahadhari: Wazo limepinda!:-(]






Usipokuwa makini unaweza kufikiri tofauti zinajulikana,...
.... kati ya mwanamme na MWANAMKE!:-(

Na ni mpaka uanze kufuatilia nini hasa kinajulikana,...
....kisababishacho hata mpaka DUNIA ya leo bado INATOFAUTISHA HAKI za mwanamme na zile za MWANAMKE.

Na haki ya nani tena ukitafiti yanayojulikana,...
..... utastukia wengi hawajui nini hasa humtofautisha manamume na mwanamke ukiachilia mbali vionekanavyo kama AFANDE WA CHINI kwa mwanamume na TITI kibonge, chuchu pana na ile kitu UKE kwa MWANAMKE!:-(


Na unaweza hata kukana hata kama inajulikana ,.....
.... ingawa ukweli UKO PALEPALE UMENG'ANG'ANIA kuwa katika jamii kuna MIDUME inajisikia MIANAMKE na WADADA WASAGAJI ambao kati yao kuna ajisikiaye MWANAUME ingawa hana uume a.k.a KITOMASIO kwa kuwa yeye ni mwanamke ingawa avutiwao nao kuwavulia chupi nao ni WANAWAKE!

Na tukiendelea na yadhaniwayo yanajulikana,...
..... nikuulize katika WA BINADAMU USAWA unafikiri ni ASILIMIA NGAPI ya MTU ambayo iko sawa ndani ya MWANAMKE NA MWANAUME kabla hujajazia vikorombwezo vingine kama UUME na UKE viletavyo tofauti ikufanyayo ustukie kuwa unayekerana naye MTU , ni MWANAUME au MWANAMKE?


Ndio kumbuka inasemekana ni kitu kinachojulikana,....
.... kuwa kama umuwazaye ni NDUGU YAKO mara zote kama wewe sio WALE wamtamanio angalau binamu nyama ya hamu, HAMU yako KWA NDUGU huwa haiathiriwi au kupewa changamoto kwa KUJUA uwamisio a.k.a ANGALAU KUWA NA HAMU YA KUWAONA TENA, walicho nacho maeneo ni UUME au UKE.

Kumbuka tu kuwa ingawa labda siku hizi inajulikana,...
..... si kila umuonaye sura nyororo TITI mwanana , chuchu pana, na tako mtikiso SINGIDA-DODOMA ni MWANAMKE.:-(


Na usishangae baada ya muda ikijulikana,....
.... kuwa baadhi ya binadamu watanunua KISAYANSI kuzaa MBWA badala ya BINADAMU baada ya kufanikisha tendo la UASHERATI kwa kuwa WANAPENDA SANA MBWA kuliko WATU au kwa kuwa ni FASHENI TU hasa ukikumbuka sasa hivi TUMESHAFIKIA ukitaka kama WEWE DUME NA UMECHOKA UUME na UNAPESA waweza kununua wakukate kidude na kukutengenezea UKE kwa kuwa TU siku hizi ukimuona KHAMISI dume zima HUTAKI TU AWE RAFIKI YAKO TU WAKAWAIDA kwakuwa eti KIDUME unajisikia NAWE kumpa kidume mwenzio UKE !:-(

Swali:
  • Unauhakika hauna rafikiyako ambaye hujui tu lakini labda ana U-CASTER SEMENYA?[samahanni lakini kama unisomaye nakukwaza kwakuwa una U-CASTER SEMENYA!:-(]

  • Unafikiri ni asilimia ngapi ya HAMU YAKO kwa UMPENDAYE MTU inapewa changamoto na yake JINSIA?

  • Au unafikiri mapenzi yako karibu kwa wote uwapendao HAYAATHIRIWI na jinsia yako tu kwakuwa una UUME au tukiachilia chuchu muruwa basi una UKE?

  • Kwani unafikiri kimfanyacho mtu awe ni mwanamke ni NYONYO yakutosha na SUPA K kwa chini kidogo na kwa mwanamume ni Madevu kama UFAGIO WA CHELEWA na yule AFANDE wa chini kwa chini kidogo tu?


NIMEACHA WAZO MHESHIMIWA na kumbuka ni wazo tu hili MUUNGWANA Banangenge!

Hebu basi turudi tena Tanzania SHAKILA adai-Moyo unalia macho yanacheka.



Au tu MAXWELL adai-Ever Wanting to Want You to



AU tu MAXIWELL arudie tena kitu-LIFETIME[live]

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 6:35 pm  

Mkuu, wouh!! Nawaachia watu wengine waanguke na michango. Ila ujue habari yote nimeisoma mara 2

Yasinta Ngonyani 7:19 pm  

Mi leo nimeshindwa nami nawaachia wengine:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP