Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UNAWEZA KUSAHAU ulipokwenda msalani ULIKOJOA PIA kama kilichokupeleka chooni kililenga KUNYA!

>> Tuesday, September 15, 2009

Kumbuka tu,...
....KABLA ya kukifikia unachofikiri ni MUHIMU,....
........ulivyovipita hapo katikati NJIANI wakati unamendea na kukiendea UNACHOFIKIRI NI cha muhimu, NAVYO ni MUHIMU,....

... na LABDA vina umuhimu wake hata katika KULIFANYA hilo ulengalo UDHANI ni la MUHIMU.

:-(

Swali:
  • Si unakumbuka BINADAMU ni wasahaulifu na vingi wavikumbukavyo labda ndio sio vya MUHIMU?
  • Si unakumbuka huwezi kutafsiri au kujua tu NI nini MUHIMU kama hakuna udhaniavyo si muhimu?
  • Hivi unafikiri kuna binadamu ambaye ni muhimu SANA mpaka akifa dunia itasita kuzunguka kwa kuwa katutoka aliyekuwa muhimu sana na pengo lake kwa dunia halizibiki?{kumbuka siongelei swala la limtu binafsi na lifamilia lake, rafiki au limchumba}
NI HILO TU na NI WAZO TU weye MHESHIMIWA uliyesahau kuwa KAMA uliwahi kubadilishwa NEPI basi weye ulishawahi kuwa KIKOJOZI!:-(


Ngojea BLAXX abadili kwa Soca katika kitu kiitwacho-TUSTY


AU tu ROSE MUHANDO apindishe muelekeo wa wazo lako lililoanza kukaa kimatumbi baada ya kumsikiliza BLAXX hapo juu kwa kitu-NAKAZA MWENDO

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP