Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KWA kuongea unachofikiria unaweza kuumiza ROHO mtu!

>> Wednesday, September 30, 2009

Na kuacha kuongea unachofikiria,....
.... anaweza akaumia mtu!:-(


Kwa bahati mbaya hata ujaribu kwa kunuia kukwepa kuongea unachofikiria,...
.... mengi bado unayaongea kila siku NA NI ukweli ni kwamba bado HATA SASA HIVI uliyoongea LABDA NAYO KWA MARA NYINGINE hujayafikiria na labda umuumizaye hajakwambia lakini KASHAUMIA angalau roho mtu!:-(

Swali:
  • AU?
  • Ushawahi kukaa kimya ili usimuumize mtu roho na kustukia BAADAYE kwa kuwa ulikaa kimya kaumia mtu?

NI wazo tu KIJEBA usitishike!:-(

Hebu UB 40 wabadili tena kwa kitu -BURDEN of SHAME



Au tu THEM MUSHROOMS watekenye kwa zilipendwa

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP