Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUTOKA JUU kama unataka kuifikia FIRIGISI NONIHINO, labda wahitaji kuingiza ANGALAU kidole /KIFAA chini kidogo zaidi kama unadili na kitu KIPENZI!

>> Sunday, September 27, 2009

Mara nyingi MAJAMBOZ hayadumu kwa kuwa umuhimu wake wathaminiwa kwa juujuu,...
.... na kwa kukwepa ugumu NA KUZOEA URAHISI hatutaki kuyaelewa hata kwa chini kidogo.

Na kwa juujuu ,...
.......ikiwa inanoga unaweza kutostukia ukitaka kujua mpaka asili ya utamu labda ni muhimu uchimbe angalau kwa chini kidogo.

Na kama umeshajua mpaka shina la utamu KWA URAHISI utastukia ukipewa kwa juujuu,....
.... na hakuna kitu kitamu kama kujua unachodili nacho NI NINI au tu kama ni kweli unagawiwa au KUGAWA kwa juujuu , KATIKATI au HATA kwa kukionja umestukia mpaka mizizi yake kwa kuwa ni katika NANIHIII hii inapatikana chini yake kidogo.


Swali:
  • Unauhakika naongelea nini?
  • Unauhakika utamu ni nini?

USITISHIKE Mkuu ni WAZO TU HILI !

Hebu Venessa Paradis adai-Joe le Taxi




Au tu Sade arudie Sweetest Taboo

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP