Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UKILEGEZA akalegea!

>> Wednesday, September 23, 2009

Kulegeza kitu ni lugha na watu huielewa kwa kuwa huumua kama hamira,....

.... na ukilegea kwa kulegezwa ni udhaifu na jihadhari na kinachokulegeza hasa usichokitambua kama kazi .


Na kulegeza mdomo kwawezaongea we taahira,....
.... wakati kulegeza macho kwaweza mtambulisha mtu kunakitu anapatia na ndio sababu ushaanza kurembulia macho uitarajiayo kazi.

Kulegeza kamba KATIKA MAKUZI ya TOTO ni aina YA kuonyesha dira,....
.... hasa kama kukaza kamba huonyesha umfunzaye mpaka aina la vazi.


Swali:

  • AU?

Na kwa binadamu walivyo wabishi, kulegeza KWAO kwaweza kaza,
... na ukikaza kwaweza kuwaLEGEZA.



NI WAZO tu na usipolielewa WEYE endeleza SENDEMA TU kinamna Mheshimiwa!


Hebu tubadili kidogo basi kwa kumsikiliza Gregory Isaacs akiomba agawawiwe tena katika-One more time

Au tu THIRD WORLD warudie -Lagos Jump

Nipo na Asanteni Wadau wote msionichoka baadhi mkiwemo katika picha zangu hizi za juzi ya jana...


Photobucket


Photobucket


Photobucket


Photobucket


Photobucket

Photobucket



Photobucket





Photobucket




Photobucket


Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket


Photobucket





Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP