Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Nukuu za leo ni kutoka kwa Muammar al Gaddafi!

>> Thursday, September 03, 2009

I cannot recognise either the Palestinian state or the Israeli state. The Palestinians are idiots and the Israelis are idiots.
Tafsiri kwa ung'eng'e mtaani: ''Waisrael na Wapalestina ni ndugu ukiingilia ya ndugu utachekesha!''



Libya has had to put up with too much from the Arabs for whom it has poured forth both blood and money.
Tafsiri mtaani:''Mie Muarabu lakini Waarabu kwa kuwa ni ndugu zangu bado kindugu wananizingua''



The times of Arab nationalism and unity are gone forever.

Tafsiri mtaani:'' Nanogewa na Umoja wa Afrika ulio kama gari Mkweche!''




There must be a world revolution which puts an end to all materialistic conditions hindering woman from performing her natural role in life and driving her to carry out man's duties in order to be equal in rights.
Tafsiri mtaani:'' Wanawake acheni kujaribu kukojoa mesimama kwa kuwa tu wanaume wanakojoa wamesimama HASA kama kitendo hakiendani na haja kubwa kwa kuwa staili ya kukojoa bado si kipimo cha usawa hasa kutokana na swala lenyewe liko kwenye KITENDO na sio staili ya KUTENDA.''

HABARI YENYEWE NDIO HIYO na MIE nimetafsiri tu alichosema Mheshimiwa Gaddafi kama mrindimo wake niusikiavyo mtaani!:-(

Aliyesema ni Muammar al Gaddafi na usinilaumu MIE babu wee!
[sentensi hii imeshikiwa kiuno na mwanadada]


Muammar al Gaddafi quotes nimezitoa kwenye Brainy quotes

Hebu basi tubadili hali ya hewa na kujiuliza kuhusu ukweli wa WIKIPEDIA tena...

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP