Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

FAIDA za kuongezea chumvi STORI!

>> Thursday, September 24, 2009

Kama mazingaombwe vile mpaka stori YAKO na POOZEO ya ngono,...
.... ghafla ikisimuliwa hugeuka kuwa KAMA VILE ulifanya mapenzi ya ndoa na wandoa mpenzi!:-(

Na akutishaye kwa ya gono,...
... kwa kuzidisha chumvi akufanya uogope mpaka minyoo na sio tu kaswende na UKIMWI wakati aongeavyo kwako mwenye akili UKIFIKIRIA ni anatukania ubongo wako wenye miakili KWA KUTOFIKIRIA KABLA YA KUONJA angalau usisababishe mimba, shenzi.

Swali:
  • Hivi CHUMVI ikizidi kwenye stori ya kweli si TAMTHILIYA itageuka na kufanya igizo zima liwe ninachezwa kwa stori ya uwongo?

Kumbuka lakini wengi wasimuliao mpaka wa ngumi ugomvi na sio tu malumbano,...
.... wanaweza wakawa hawajashuhudia sio tu malumbano BALI na pia hawajaona hata mtu kapigwa konzi!:-(

SWALI:
  • AU?

NIMEACHA wazo!

Hebu Jay Z na Pharell wanadishe katika-Excuse me MISS


Au tu Jay Z, Rihanna na Kanye wadanganye katika-Run THIS TOWN

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP