Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MAPENZI ya watu na IBILISI!

>> Thursday, September 24, 2009

[Tahadhari : Wazo limepinda ingawa sio sana!:-(]


Kwa kusema unaweza kuwasikia wakisema IBILISI nyoko weee,...
....kwa vitendo utashuhudia wakinene IBILISI yako matamu wee!:-(

Ukiwauliza watadai HATA tunamuogopa MUNGU weee,....
....lakini ukiwastua kwa stori hata za MAJINI na wala sio za SHETANI utastukia na IBILISI wanamuogopa na wanaweza toka baruti weee!:-(




Kwa kifupi nataka kusema:





Binadamu kirahisi ukiwapa uwanja watamsuta IBILISI nikome weee,....
....lakini ukiwafuatilia matendo yao unaweza kukuta kirahisi bila aibu wanakatikia kiuno ya SHETWANI hata bila kutamka IBILISI mtamu wee!:-(

NAKATIZIA WAZO HAPA na NAKUSHAURI jaribu kukwepa lakini ya IBILISI kama unamjali MUNGU ingawa labda hapa najiongelea MIMI MWENYEWE na wala sikuongelei wewe MHESHIMIWA!

Swali:
  • AU?

Naacha na moja kwa moja hebu turudi CUBA kukutana na LOS VAN VAN watupe ILE KITU TAMU hasa KWETU TUPENDAO MIONDOKO iruhusuyo mwanamke na mwanamume kutiana mshawasha katika miondoko ndani ya DANSI kwa kitu kama - Aqui el que baila gana


Au tu tubakie tu na Wakuba LOS VAN VAN wafanye matusi live katika kitu kijulikanacho pia kama -TIMBA POP

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:39 pm  

Karibu tena kwani ulikuwa kama mwana mpotevu:-(

Simon Kitururu 2:15 am  

@Yasinta: Asante Dada Mpenzi!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP