Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Aliyeandika kuhusu swala la TITI labda sio HASA ni yule MTAALAMU wa MATITI!:-(

>> Saturday, October 30, 2010

Wakati unakula MLENDA,....

....kumbuka TU  kuna WATAALAMU WALIOKUBUHU KATIKA KUJUA ambao wako kimya,...
....wasiopata nafasi ya kuandika KIUTAALAMU WAO kuhusu MLENDA,....
...au wasiojua tu jinsi ya kusimulia KIMAANDISHI jinsi ya kupika MLENDA wakati unasikiliza AU UNAWASOMA waongeleao MLENDA.:-(



Na umsomapo Simon Kitururu akiongelea  kipengele cha mwili kitumikacho sana MSALANI,....
..... kumbuka tu  kuwa kuna wataalamu ZAIDI wa jinsi ya kubana matumizi ya muda na umadhubuti wa utumiavyo kipengele huko MSALANI ambao wako kimya kwa sababu mbaimbali  zikiwemo za kawaida  kama zile za HESHIMA kwa kudhani  wakiongelea kipengele anuai  wataonekana kama SIMON kuwa si WAHESHIMIWA .

Swali:
  • SI unajua labda SHEKHE YAHYA  pamoja na kutoongelea zaidi BIBLIA kama aongeleavyo utabiri labda anaijua BIBLIA kuliko hata ASKOFU kadhaa za KILUTHERI  katika mpekecho wa BIBLIA?
  • Si umestukia kuwa labda kunauwezekano ingawa  ni wanawake ndio wenye titi lenye ujazo NA UTAALAMU WA JINSI YA KUISHI NA TITI NONO  wa kutosha lakini labda kuna mwanaume  ndio muongeleaji titi zaidi?


Nawaza tu MKUU!

Hebu ARRESTED DEVELOPMENT warudishe ustaarabu kwa-Revolution



Walete- Tennessee



Arrested Development warudie-Mr Wendal



Au tu ARRESTED DEVELOPMENT wamalizie na-People Everyday

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP