Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Udhaifu unaoweza kujitokeza katika hoja za watu kudai ``WANATAKA kuwa MALAIKA!´´.:-(

>> Wednesday, October 06, 2010

Tatizo la kutamani kuwa kama KITU usichokijua,....
.....labda ni  ALINACHA tu,....



.... kwa kuwa kama MTU atamanicho ni kuwa kama KUKU,....
... ..... kunauwezekano  anaweza kushangaa baada ya kugeuka KUKU kuwa kuku nao  wanapresha tu za MAISHA kama BINADAMU.:-(

Swali:
  • Hivi  si unakumbuka kuwa pamoja na BINADAMU angalau katika mazungumzo waonekanavyo kuwaonea donge MALAIKA , bado UKWELI uko palepale kuwa hakuna BINADAMU  mwenye kuwajua vizuri MALAIKA na presha zao?


Ndio,...
... hili ni WAZO tu MHESHIMIWA!:-(



Turudi Zimbabwe Audius Mtawarira adinye  ndude- Hold On [Shona Version]


Tubakie Zimbabwe na CHIWONISO katika-Wandirasa




Sanii Makhalima naye aendelee kutubakiza Zimbabwe kwa ndude-Hakuna Mumwe


Napenda sana tu kazi za wasanii wa ZIMBABWE ila huwa najiuliza hivi Henry Alonga hujisikiaje akiusikiliza huu wimbo alouimba ukizingatia hali ilivyo siku hizi Zimbabwe uitwao-Our Zimbabwe

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP