Uzuri wa KUMA na MBOO,....
>> Monday, October 25, 2010
.... labda unaongezeka bila SABABU kwa kuwa HADHARANI WAHESHIMIWA  kama wewe ambao katika jamii MNAHESHIMIKA kuliko mimi,....
....kisa  mnataka kuamini  kuwa  HESHIMA  na NENO vinauhusiano  kama muaminivyo zaidi kuwa MTU ASIPOTAMKA NENO  kama mkundu  kirahisi kama atamkavyo EMBE BOLIBO basi yeye ndio wakuheshimiwa zaidi INGAWA INAJULIKANA KWENYE AFIKIRIAYO yaitwayo  MATUSI  YAPO na  INAJULIKANA PIA kwa kuwa  YEYE ni  fisadi na UFISADI WAKE  ndio usababishao watoto wa masikini hata wakienda shule watabakia wajinga kwa kuwa hata walimu wenyewe wazuri hupenda kufundisha watoto wa matajiri ujinga ni nini,...
.... labda yeye ndio mwenye matusi  ingawa PADRE wa kiroma na WEWE labda hamoni hilo.:-(
Swali:
- SI unajua neno mboo kama tu kisimi kwa lugha ya KIINGEREZA ipendelewayo na wasomi wa BONGO havina maana?:-(
Ni wazo tu HILI Mheshimiwa na samahani kama katika ustaarabu wako moja ya tafsiri ya nilichoandika ni MATUSI na ni RUKSA KUTONIELEWA MHESHIMIWA!!:-(
Hebu CHIWONISO arudishe TENA ustaarabu hapa kijiweni kwa jiwe-Wandirasa
Louis Armstrong aingilie kati ustaarabu kwa -Hello Dolly
Louis Armstrong aendelee kustaarabisha kwa - La vie en rose
Lois Armstrong adinye tu kistaarabu pia-What a wonderful world
Au tu hebu katika kubadili mguno Heavy D arudie nyundo-Truthfull
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment