Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Uzuri wa KUMA na MBOO,....

>> Monday, October 25, 2010

.... labda unaongezeka bila SABABU kwa kuwa HADHARANI WAHESHIMIWA  kama wewe ambao katika jamii MNAHESHIMIKA kuliko mimi,....



..... mnageuza jina la kipengele cha MWILI CHA KAWAIDA AMBACHO labda kila MTU ANACHO  kiwe topiki kubwa na ya AJABU mpaka hata kifaa kama titi  na chuchu  inageuka pia kuwa tusi,....


....kisa  mnataka kuamini  kuwa  HESHIMA  na NENO vinauhusiano  kama muaminivyo zaidi kuwa MTU ASIPOTAMKA NENO  kama mkundu  kirahisi kama atamkavyo EMBE BOLIBO basi yeye ndio wakuheshimiwa zaidi INGAWA INAJULIKANA KWENYE AFIKIRIAYO yaitwayo  MATUSI  YAPO na  INAJULIKANA PIA kwa kuwa  YEYE ni  fisadi na UFISADI WAKE  ndio usababishao watoto wa masikini hata wakienda shule watabakia wajinga kwa kuwa hata walimu wenyewe wazuri hupenda kufundisha watoto wa matajiri ujinga ni nini,...
.... labda yeye ndio mwenye matusi  ingawa PADRE wa kiroma na WEWE labda hamoni hilo.:-(




Swali:
  • SI unajua neno mboo kama tu kisimi kwa lugha ya KIINGEREZA ipendelewayo na wasomi wa BONGO havina maana?:-(

Ni wazo tu HILI Mheshimiwa na samahani kama katika ustaarabu wako moja ya tafsiri ya nilichoandika ni MATUSI na ni RUKSA KUTONIELEWA MHESHIMIWA!!:-(



Hebu CHIWONISO arudishe TENA ustaarabu hapa kijiweni kwa jiwe-Wandirasa



Louis Armstrong aingilie kati ustaarabu kwa -Hello Dolly




Louis Armstrong aendelee kustaarabisha kwa - La vie en rose




Lois Armstrong adinye tu kistaarabu pia-What a wonderful world



Au tu hebu katika kubadili mguno  Heavy D arudie nyundo-Truthfull

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP