Wakati MSAADA TUTANI unaanza kutishia kugeuza TUTA kuwa ni kituo rasmi cha BASI.
>> Tuesday, October 26, 2010
Adoado HUZOELEKA.
Na  kwa dogo kama KUSHIKWA KIBINDO labda ndio mwanzo wa kupigwa MUELEKA.
Na wakati kuombwa dogo   INAELEWEKA,...
... labda OMBI hata kwa MUNGU liwe ni wakati ombi  katika hitaji kikweli LAHITAJIKA.
Kwani azoeaye  tegemezi la MSAADA hata wa DALADALA lisimame TUTANI linaloeleweka,....
..... labda afanyacho katika OMBI ni tabia tu  kutokana na mazoea kwakuwa  kutojitegemea nako HUZOELEKA.:-(
Swali:
- Unafikiri wengi hata MAKANISANI wamuombacho MUNGU sio ni kwa kuwa kumuomba MUNGU ni jambo LILILOZOELEKA tu?
NI WAZO TU HILI BINGWA na wala usikonde!:-(
Hebu tumsikilize tena Robert Mugabe
Au ngojea tujikumbushe tena baadhi ya mitazamo ya nguli Muammar Gaddafi
Au tu tena Simple Minds warudie tu tena - Mandela Day
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment