LABDA kuna wengi wenye kigugumizi WANAKUTAKA !:-(
>> Friday, October 01, 2010
Ukikaa mkao uwapao  watu matumaini CHOCHOTE utasikiliza,...
... unaweza kustukia umetongozwa kilaini na UFIKIRIAYE anakuona na kukuheshimu  kama limtu tu ambalo LIPO tu   kama  mwendawazimu  mchafu kidogo SOKONI  na sio kama yule anukaye kidonda ndugu.:-(Na labda KUNA wengi waongeleao BIBLIA au KORANI wanaomtaka kimatusi MVULANA mwanana mwenye suruali ya zamani lakini msafi na ukilalamika kikubwa kuliko KUHUSU uwezekano kuna matusi kwenye BIBLIA na KORANI anakusikiliza,....
 ... ambao kwa mkao wako tu  wakutoashiria hata simulizi za jinsi ya jinsi gani DHAMIRA yako imejaa matusi  hawana chakusema na wanakuita KAKA na katika kukuchekea inabidi WAKUCHEKEE  kama vile ndugu.:-(
Swali:
- Unauhakika ndugu ni nani kama wewe ni muumini wa dini zenye kuamini binadamu wanatokana na Adamu na hawa na kwahiyo kwa mwendo wa maringo wanahakikishia umati kuwa Watoto wa Adam na Hawa walioana ki DAD na KAKA ili wewe uwepo leo hii na ustaarabu wako?
Tukiachana na hilo,...
...KUNA uwezekano mbele yako  WAJISIKIAO INABIDI waongee,...
.... wanajilazimisha tu KUONGELEA WAONGELEACHO kwa kuwa LABDA HAKINA UHUSIANO na WATAKACHO KUKUAMBIA  na katika UBUNIFU wanaongea wafikiriacho tu kwa MKAO wako wa MASHAVU kama MABUMUNDA  ndicho unataka kusikiliza.:-(Na kama umetongozwa,...
..labda ulikaa mkao uashiriao ukoradhi kusikiliza MTONGOZO.
Swali:- AU?
NI WAZO tu hili MHESHIMIWA ,na nalitemea mate POO!:-(
Hebu Lord Kitchener arudishe - Moko Jumbie
Lord Kitchener adinye-Woman 's FIGURE
Au tu Lord Kitchener aongelee udakitari tena katika shughuli ndani ya jiwe-Dr Kitch
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment