Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati MOHAMMED ndio jina maarufu wapewalo WATOTO Uingereza na FINLAND!

>> Saturday, October 30, 2010

Taka usitake kunakitu chaweza kukuingia akilini KITAFAKURI,....

..... kama utatafakari kuwa nchi kama FINLAND ambayo ni ya KIKRISTO mpaka SEREKALI ndiyo itozayo watu sadaka za KANISA kwa kukata watu  mshahara  kama kodi ya KANISA kwa ajili ya KANISA hasa la KILUTHERI ,....

.....katika data unakuta watoto wengi wapya wakiume MOHAMMED ni moja ya jinalitawalalo,....


.....pia nchi kama UINGEREZA ambayo kihistoria ni ya KIKRISTO  ukisikia pia ni jina hilohilo MOHAMMED ndio linatawala.

Hebu deku watu wanasemaje kuhusu hilo UK...




Swali:

  • Wakristo MPO ?
  • Au ndio nyie mliozidisha kugeuza kipengele cha kutengenezea mtoto kuwa ni KIBURUDISHO MURUA tu KWA KUWA TAMU na mitoto hamzai kwa kuwa kuilea mitoto ni kibano kama kupanga foleni RTC kununua UNGA WA YANGA enzi za NYERERE baada ya vita na Mheshimiwa Idd AMIN?


NAWAZA TU MKUU usikonde!



Hebu Gilberto Gil abadili mkao wa wazo kwa kurudia -Aquele Abraço




Au hebu tubakie Brazil  ELIS REGINA  anisaidie kuendelea kubadili hali ya hewa hapa kijiweni kwa ndude -Madalena


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP