Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuhusu MOROGORO Sekondari!:-(

>> Monday, October 25, 2010

Kuna kipindi tuliosoma hapoMOROSEKI  ilikuwa ni wale WALIOPASI MITIHANI ya darasa la saba vizuri na ilikuwa unaweza hata kumringia mtu kama udhaifu wako ni huo kwa kuwa ukionekana tu MOROGORO MJINI na yunifomu ya MOROSEKI wanajua weye kichwa.:-(



Nachosikitika si kwa kuwa wenye akili  MOROGORO ni MOROSEKI ni  shule ya mwisho kujaribu  kuipa shavu ni MOROGORO SEKONDARI siku hizi,....

.... ila pia tuNI SWALA ZIMA NCHI NZIMA  ilivyofikia kuwa siku hizi karibu NCHI NZIMA YA TANZANIA shule za serekali ndizo zinazokwepwa,...
....kisa ndizo ambazo  unaweza kwenda kuondoa ujinga na kubakia MJINGA,:-(


Swali:
  • SI unajua kwa aliyewahi kusoma MOROSEKI siku hizi ukisikia yanayoendelea hapo  kama una aibu ni AIBU TU?
  • SI unajua  si wanafunzi tu wakwepao shule za SERIKALI kwakuwa hata walimu nao wamestukia  kukwepa shule za serikali inalipa pia?

Hebu akina Jeff Msangi  wa BONGO CELEBRITY na wengine  ambao mpo katika ulimwengu wa kublogi ambao mnawezwa kuguswa na SWALA LA MOROGORO SEKONDARI nisaidieni  mtazamo kama mtasoma hiii ndude kwa kuwa nahisi Moroseki inawahusu pia.:-(


SAMAHANI  kama huhusiki na hii taralila MKUU!



Moja kwa moja hebu AMERIE aanzishe kwa-Gotta Work




Au labda LL Cool J na Boyz II Men katika kubadili tena zaidi kwa kulainisha zaidi warudie-Hey Lover




Au labda LL COOJ na Amerie katika kuondoa ulaini kidogo tena wadinye-Paradise



Au tu Amerie peke yake arudie mdinyo nyundo - 1 THING

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

EDNA 7:37 pm  

Mie hiyo ngoma ya J.Martin na fally Ipupa,imenibamba balaa.Naisikiliza kila itwavyo siku.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP