KIASI-katika KIPIMO cha KUTEKENYA kitekenyeo ili atekenywaye acheke bila kusikia MAUMIVU!
>> Friday, October 15, 2010
Ukizidisha KIASI katika kumtekenya achekaye,....
..... badala ya kuendelea kucheka  anaweza kulia!:-(
Swali:
- SI unakumbuka mwanzo KUTEKENYA huwa kunachekesha MTU lakini ukizidisha kumtekenya achekaye KUTEKENYA hugeuka sio tena kichochea mtu KUCHEKA kwa kuwa umevuka kiasi?
KIASI....
....katika KIPIMO  ni jambo gumu kwa kuwa kila mtu ANA KIASI chake ,..
.... ndio maana kwa  mwingine KIASI ni  SINIA la makande wakati kwa mwingine KIASI ni kitumbua kimoja kwa chai.Na kiasi,....
..... ndicho kisababishacho  wahitajio DOZI kubwa katika mambo fulani kuonekana MALAYA  na watoshelezwao kwa DOZI NDOGO ya marudio hata ya KUKUNA KIPELE wakati labda ukweli ni kwamba hao ni watu tofauti na katika MATIBABU ni kawaida watahitaji DOZI TOFAUTItofauti  ZA DAWA  KI-kiasi.:-(
Swali:
- Unafikiri leo hakuna ulichozidisha KIASI?
NI wazo tu hili MKUU!
Hebu Montell Jordan arudie - Get It On Tonight
Au tu ngojea Quincy Jones ajazzifai katika-Jazz Corner Of The World/Birdland
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment