Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama ni kweli UNAFIKIRIA unachokifikiria!

>> Tuesday, October 27, 2009

Unaweza KUSTUKIA ukifikiria,....
... kuwa kila mtu afikiriapo kitu maana yake WAKATI HUO hilo linawezekana KWA KUWA kuna ASICHOKIFIKIRIA!

Swali:
  • Kwani unauhakika kuna afikiriaye mambo mawili ndani ya sekunde HIYOHIYO moja?
  • Kwani unafikiri ni kawaida KUKIFIKIRIA unachokifikiria?
  • Unafikiri hupumzishi fikirio moja ndio maana la pili limeshamiri?


HILI Ni wazo tu MHESHIMIWA na KWA BAHATI MBAYA linaweza lisikusaidie mlo LEO!:-(



Au hebu MANU DIBANGO atupe kitu-African Battle



Au tu Manu DIBANGO adondoshe kitu alichokipiga mwaka1974-Super Koumba

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 1:12 pm  

Mbona muda huu mi nafikiria mambo mawili.
Mosi utamu wa huu ugali samaki naoufinya.
Mbili utamu wa blog hîi nayoisoma.

Simon Kitururu 3:38 pm  

@Papaa Fadhy: Muda kitu cha ajabu ndio maana sekunde na dakika vyote ni muda!:-)

Miriam 5:48 am  

Asante sana sana. Nilikuwa nataka huu mziki lakini nilisahau unaitwaje. Thank you dear,
Mingi love.

Simon Kitururu 6:17 am  

@Dada Miriam: Karibu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP