Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika kufuatilia HISTORIA ya BINADAMU NA lugha, unadhani ADAMU na EVA walikuwa wanaiita ngono jina GANI wakati wanaitana chobisi ili KUNANIHII?

>> Saturday, October 31, 2009

[Tahadhari: Kama unajiheshimu unaruhusiwa kutosoma hii taralira!:-(]

Fumba macho ,....
.....halafu tafakari kama ungetaka kumuomba KIZALISHIO mtu kwa tumizi la burudani au la kuzalisha MGAGAGIGIKOKO msiyeelewana lugha, uhisi ni sauti NA NENO gani ungelitumia kumuelewesha katika mtongozo MGAGAGIGIKOKO asiye wa KIMANDENGO utakacho kitumbua SIO binamu ya andazi KITUMBUA.

Halafu fungua macho,....
.... na jaribu kutafakari kama unanjaa halafu ni ombaomba, ni sauti au vitendo GANI utatumia kuomba chakula KUTOKA KWA mtu msiyeelewana lugha hata kama chakula chenyewe UOMBACHO ni kitumbua KITUMBUA.

Swali:
  • Unafikiri UNAHITAJI YENYE MANENO lugha kama unahitaji kuwasiliana na ujuaye hamuelewani lugha ZA MANENO hata kama ujumbe ukupao nyege ya kutamka ni kumtusi tu Mwalimu Nyerere '' BICHWA kama mbwa''?



OK!
NIMEACHA hili WAZO Mheshimiwa!

Ngojea tu ABETI MASIKINI arudishe utulivu na ustaarabu kwa kitu-Yamba Yamba



Au tu tena ABETI MASIKINI adunge kitu-Je suis fache

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP