Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

USHACHUNGUZA hasara za KUACHA UJINGA?

>> Thursday, October 22, 2009

Kumbuka,....

..... kuna pande tatu katika SHILINGI ndio maana unaweza UKAISIMAMISHA ikasimama ingawa pande moja huwa haizungumziwi kwa kuwa eti TU haina PICHA!:-(


Swali:
  • Lakini unafuraha kwa kujua au unafarijika TU na shughuli nzima ya kutaka kujua utakacho kujua?

NI HILO TU!
Ngojea lakini BLACK UHURU waongelee wahitajicho tu ni -Happiness


Au tudeku tu sura kadhaa za huzuni za Mtakatifu Simon Kitururu majuzi ya jana....


Photobucket




Photobucket


Photobucket


Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket

7 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:13 am  

Hapiness:-(

Simon Kitururu 11:20 am  

@Dada Yasinta: :-(

Yasinta Ngonyani 11:33 am  

Mt. Simon nimeogopa kuona hizo picha salama kakangu:-(

Fadhy Mtanga 11:45 am  

Kama kawa Mtakatifu Simon. Pamoja sana.

Simon Kitururu 4:41 pm  

@Dada Yasinta: Salama tu Dada yangu , ningekuwa demu labda ingekuwa ni swala tu la kuwa mwezini ndio maana!
@Askofu Fadhy: Pamoja sana Mkuu!

Yasinta Ngonyani 4:56 pm  

Nashukuru kama u salama, Sasa kwa nini una huzuni!

Simon Kitururu 8:11 pm  

@Dada Yasinta: Si unajua huzuni ni chachandu ya FURAHA?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP