Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SIRI!

>> Tuesday, October 27, 2009

SIRI inamchezo wakutokuwa siri kwa jinsi tu uifanyavyo ni SIRI!:-(

Kunauwezekano,...
.....MWISHO wa SIRI YA KITU ni utambuapo unataka HICHO kiwe SIRI!:-(

Swali:
  • Kwani hujastukia watu wengi tabia zao na MPAKA muonekano wao ni MATOKEO ya vita zao tu na waliyoyatambua na kuamua hayo ni SIRI?

  • Unajua kuwa kama siri yenyewe ni sura mbaya mdada anaweza akahakikisha anabomba la staili ya nywele halafu mwendo wake ni wa tingisha tako ili usibobee kumchunguza sura?

  • Unauhakika kuwa tabia nzuri mbele za watu sio KIFICHA SIRI tu cha ajihisiye anasura mbaya mbele za watu ?
  • Hufikiri kwa kujifanya unaakili ni staili tu ya kuficha yako ya kijinga ufanyayo ni SIRI?

NI WAZO TU HILI Mheshimiwa!:-(

Hebu Lagbaja arudie ndude iitwayo-GRA GRA



Au tu arudie ndude iitwayo-Skentele Skontolo

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 1:23 pm  

Siyo siri leo umeninogesha kimnogonogo cha unogo kunoga!

Simon Kitururu 3:39 pm  

@Askofu Fadhy: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP