Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KAMA swala ni la kijinga , APATIAYE UJINGA labda ni JINIASI a.k.a ANA BOMBA la MIAKILI!

>> Wednesday, October 14, 2009

Ikibidi ufanye UJINGA ,...
.... ndipo unapoweza kugundua huwa mara nyingi UNABAHATISHA TU wakati ufanikishalo ni la KIJINGA.


Kumbuka kimtofautishacho MWENYE AKILI NYINGI a.k.a JINIASI na MJINGA,...

.....kama WOTE HAWAELEWEKI ,....
... ni staili tu ya watoavyo hoja na KUZITETEA ifanyayo WASIOELEWA wadhani JINIASI na MIAKILI YAKE ni MJINGA.

NI HILO TU!

Swali:
  • Unakumbuka kujihami na kufikia CONCLUSION usichokielewa ni UJINGA?
  • Si kama SI MTAALAMU wa kufanya ujinga kupatia kufanya UJINGA yataka matumizi tani fulani ya AKILI?

  • Unauhakika tukikulazimisha kufanya ujinga utafaulu mtihani WAKUFANYA UJINGA bila kuonyesha dalili za kuwa weye umebobea kwenye WEREVU na una miakili lukuki?

NIMEACHA!
Hebu OSIBISA nao warudie -SUNSHINE DAY



Au tu OSIBISA waendelee kwa kutupa-Gong GONG Song

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP