Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

TUKIANGALIA ujazo wa tako katika kuchunguza UMADHUBUTI wake katika shughuli zioanishwazo na MATAKO!

>> Thursday, October 08, 2009

Ujazo wa TAKO lililonuna,...
.....labda si dalili wala ushahidi wa umahiri wake katika shughuli za TAKO.


Na hata ustukie TAKO limenuna,...
....kumbuka TU kutochanganya NI NINI hasa ni shughuli HASA za TAKO.

Na kama wewe ni MIONGONI mwa wasiostukia pia TAKO linanuna,...
....kumbuka shughuli nyingi watu wafikiriazo ni za TAKO, tako husakiziwa tu na LABDA hizo shughuli hufanywa tu na kilichofichwa na TAKO!


Swali:
  • Unakumbuka moja ya shughuli ya MWILI MZIMA ni KUONGEA wakati unamuangalia udaiye huongei naye?

  • Unakumbuka kuwa moja ya shughuli kuu ya tako ni kuvutia limtu kwa mtu?

  • SI unakumbuka tako halina uhusiano na faraja zako za kutoa kinyesi na wala huhitaji tako katika ufundi wa kujisaidia kama hari na nia ipo?


NAACHA HILI WAZO MKUU na LABDA jaribu kutunza tako MHESHIMIWA kwa kuwa LABDA linaweza kutoa msaada wa kukaa ingawa bado KUNAWADAIO katika kukaa ni KITI WANAKALIA!
KUMBUKA lakini ni wazo tu HILI Mheshimiwa!:-(

Hebu basi Jose Alberto a.k.a EL CANARIO atupigie tena MLUZI akiwa na TITO PUENTE watupe kitu -OYE COMO VA


AU tu YERBA BUENA warudie tu- GUAJIRA

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:27 pm  

Mtakatifu Simon:-(

Simon Kitururu 4:49 pm  

@Dada Yasinta: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP