Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama TATIZO ni kama HUELEWI!:-(

>> Friday, October 09, 2009

Kumbuka tu,...
... ..astukiaye kuwa HAELEWI, huyo alijaribu KUELEWA!

Ila ni tatizo tu,...
....katika kujaribu kuelewa MTU akikosea kuelewa ALICHOELEWA!:-(

Na hilo ni BOMBA la tatizo sana tu,...
....kwa kuwa hakuna mpoteaji mgumu kumbadili WAZO LA TAKO au TAFSIRI YA AAMINICHO NI KWELI kama ALIYEPOTEA anayelenga mjini NA KWAKUJIAMINI HUYO ni AJIAMINIYE NA njia iendayo porini kwa kuwa KWA KUKOSEA KUELEWA KAELEWA ,na usishangae HUYO hata kwa kuamini YA DUNIA ya tundu AKAWA hatofautishi hata ya KIKOJOLEO na KINYEO/KIJAMBIO kwa kuwa yote ni MATUNDU hata kama anajua ingawa hataki KUTAMBUA katika matundu YOTE ya MWILI ni moja tu LINANYEWA!:-(


Swali:
  • Si bado kama umenisoma mpaka sentensi hii LABDA bado unakumbuka ASIYEELEWA labda bado ni kwa sababu tu BADO anajaribu KUELEWA?
  • Unadhani hakuna uwezekano MIMI na WEWE tumepotea na labda kitufanyacho tutoe kibezi ni kutoelewa tumepotea?

NAACHA WAZO na usitishike KWA KUWA labda NI MIMI TU niliyepotea!:-(

Hebu turudi kidogo Congo mwanadada Barbara Kanam atuimbie wimbo-Dada


Au tu DDC Mlimani Park OCHESTRA walete tena kitu -MV Mapenzi

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP