Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama nikikupenda kama UCHI!:-(

>> Saturday, December 12, 2009

[Tahadhari: makala HII BANANGENGE INA NENO uchi ambalo kwa wengine ni TUSI na pia KABLA hujanisoma na unajijua UNAMPENZI , labda KUMBUKA mpenzi wako kunauwezekano hata hakupendi wewe kuliko APENDAVYO kikojoleo chake:-(]


Swali:
  • Si unakumbuka kila mtu ana UCHI ingawa kuna waaminio neno na maswala ya UCHI kuyaongelea hadharani ni matusi?
  • Na si unakumbuka kuwa uchi ndio mwanzo wa shughuli nzima ya kuvaa?
  • Si unakumbuka uchi unaopendwa bado unaweza kuvalishwa chupi ya zamani iliyotoboka?


Labda kama nikikupenda kama WENYE UPENDO wapendavyo uroda KAMA WEWE upendavyo NYUCHI,...

... INAWEZEKANA nakupenda kweli KITAALAMU au hata kikuguna KULIKO KIDINI YETU , kama tukiangalia hilo hata kwa KITAALUMA YA jinsi agunavyo AGUNISHWAYE KWA KUWA pendo apewalo kivitendo TAMU , ...

.... na TUKINUKUU HILO,....

... labda nakupenda kuliko hata YESU, MOHAMEDI , BUDHA, BIBI, mwana bibi, SHETANI NA ANASA ZAKE ambazo ni tamu kuliko BAZOKA , ukoko wa UBWABWA WA NAZI , kwa kuwa PENZI LAKO mpenzi LA nigunisha ,....



...au tu katika pendo hilo KWA KUWA nakupenda sana ni kweli NAKUPENDA SANA ,...

..... ILA PAMOJA NA YOTE katika hili pendo , KUMBUKA KWA HILO BADO penzi letu ambalo lina makali zaidi ya jinsi UPENDAVYO chapati,....

.... NAKUPENDA KWELI ila TU LABDA BADO KATIKA PENZI NIKUPENDALO ukichunguza ni bado TU NAKUPENDA kama tu UCHI:-(




Swali:
  • Lakini si unakumbuka UCHI kama tu KIKWAPA hata uupende vipi usipouosha UTANUKA?
  • Si unakumbuka kila upendacho kuna kitu unakifananishanacho ndio maana katika pendo LAKO maishani, - kujua UKICHUKIACHO ni muhimu hasa ILI UZIDI KUPENDA UPENDACHO au tu katika mikakati UZIDI kupendezesha PENDO machoni mwa washabiki WAPENDAO kuangalia WAPENDANAO ikiwa nia ni kurembesha upendo WAKO mbele za macho ya wengine?

  • Unafikiri kama unapenda tako NI KWELI ungependa kupendwa kama MATAKO mpenzi?




Ndio , ...

..... LABDA nakumpenda MPENZI iliyofanana na NAKUPENDA KAMA MAMA YAKO imo MPAKA katika pendo LAKO HATA KWA HAUSIGELI , binamu nyama ya hamu, HAUSIBOI, MCHOMA MISHIKAKI wa karibu na NYUMBANI KWAKO au na mpaka SHEKHE wa msikiti WA KARIBU ndio maana katika sentensi yako ya `` NAKUPENDA SANA ´´ kwa umpendaye , pendo HILO HATA KISENTENSI ukilichunguza WAWEZA KUSTUKIA limetoka kwa KIGUGUMIZI.:-(


NAKATISHA wazo na kumbuka hili ni wazo tu MHESHIMIWA na kunauwezekano mkubwa wa KUTOELEWEKA!:-(

NA ni HILO TU MHESHIMIWA , hasa wewe MHESHIMIWA uogopaye kutamka neno UCHI kwa kuwa unajua tu KISWAHILI na unapenda kuheshimiwa KISWAHILI!:-(


Hebu kama wewe ni kama mimi unapenda FUNK MUSIC tumuache muhasisi wa staili ya GO-GO - CHUCK BROWN alete-The PARTY ROLL





Au tu CHUCK BROWN arudishe -Bustin' Loose





Au tu Bone Thugs-N-Harmony walete tena -I tried


4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

malkiory 7:39 pm  

Mheshimiwa Kituru sasa nakupa kazi ili unisaidie kwa hili, je kuna tofauti gani kati ya maneno haya mawili. I LOVE YOU na I LIKE YOU,kama yanavyotumika katika jamii mbalimbali. Kazi kwako na kwa wadau wengine.

Yasinta Ngonyani 8:08 pm  

Duh!! hii ya leo ni kali afadhali wengine ni masista. ...lol

chib 4:15 pm  

Ninahisi nimepata kizunguzungu au sijaelewa hii post!

Simon Kitururu 7:52 pm  

@Mkuu Malkiory: Ntarudi na JIBU baadaye.
@Dad yASINTA: :-)

@mKUU chib : KUNA UWEZEKANO mkubwa NI KWELI post HII HAIELEweki.:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP