Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

WAKATI na wasiwasi KUNA asilimia YA UKWELI katika kila UONGO!

>> Sunday, December 27, 2009





Ukinuia KUDANGANYA,...


.... kwa kuwa WEWE na MIMI tunajua kuwa KUDANGANYA ,...
.....kama tu KUZINI, kudokoa MBOGA au tu kupika UBWABWA ,....

.... kuna WAPATIAO VIZURI kuliko wengine,....





Swali:

  • Unafikiri katika kila ufanikiwavyo KUDANGANYA uongo wako ulioutumia ni 100 % uongo ?

  • Kwanza unauhakika kila uliponuia KUDANGANYA ni mara ngapi ULIFANIKIWA KUDANGANYA 100% ?


Na labda moja ya rasilimali ITUMIWAYO HOVYO NA BINADAMU ni ile ya UONGO kwa sababu ya UWEZEKANO MKUBWA kuwa watu wengi huzidisha UONGO katika kudanganya HATA wakati UONGO kidogo ungetosha KUDANGANYA na usingeumiza MTU.:-(









Swali zaidi kiduchu:

  • Si unajua PIA KUWA HATA kila mzazi , moja ya tendo afanyalo KWA UFANISI ZAIDI ni kumdanganya MTOTO wake hata kama nia YAKE ANAFIKIRI ni kukwepa kujibu tu swali la mtoto la; `` Hivi kwanini ghafla MAMA KAOTA kitambi?´´ ?

  • Huwa unaifikiria dozi utoayo ya UONGO kwa uwadanganyao katika danganya yako au ni kawaida yako kugawa dozi ya uongo bila vipimo WAKATI UNADANGANYA?


Nalikatizia WAZO hapa MHESHIMIWA!

Hebu tukumbushwe jinsi ya KUDANGANYA katika somo la kudanganya la- Why do kids lie?


Au Bjork atulize kwa- It's Oh So Quiet



Au tu Vumbi-Dekula arudishe kitu- Makumbele

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP