Kwa kuwa KILETACHO maana kwa ASHURA hakileti maana kwa KHADIJA,......
>> Thursday, December 17, 2009
.......labda  hiyo ndio bahati yenyewe kwa Binti MWANABIBI Kadala,....
..... IIMPAYO  NAFASI  Binti Mwanabibi Kadala ,....
.... ya  kuwa na CHAGUO la kuwa au kubakia tu kuwa....
...   Binti MWANABIBI Kadala.Swali :
- Unafikiri wote mjanja wao akiwa ni RIHANNA na BEYONCE akina Winnie Mandela , BIBI TITI, Dr Asha Migiro au hata Hillary Clinton wataendelea kuwepo?
- Si unakumbuka kiletacho maana kwangu ni kawaida kama kwako hakileti maana na wala hukielewi?
- Na si unakumbuka wakati wengine walikuwa wanamzimia Generali Msuguri na NYERERE, wako wengi tu AMBAO kwao wakuigwa alikuwa Kadinali Laurean Rugambwa na Sheikh Yahya Hussein?
Samahani kwa wazo hili NYOKO Mheshimiwa!:-(
Hebu Jill Scott aongee na mwanamke mwenziye katika-Gettin' In The Way
Au tu Jill Scott aendelee na -Cross My Mind
Au tu RED RAT na BUJU BANTON wabadili kabisa kwa -Love dem BAD
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment