Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

LABDA WACHAWI ndio huogopa zaidi UCHAWI!:-(

>> Thursday, December 10, 2009

ETI inasemekana ni tusivyovijua,....
.... ndio VITUTISHAVYO!:-(



Na inasemekana mpaka ubaguzi wa rangi na UKABILA hutokana na woga TU wa tusivyovijua,....
.....ambavyo ndio VITUTISHAVYO.:-(

Na kwa kuwa Mchaga wa MOSHI na Msukuma hata wa DAR-es- Salaam KWA KAWAIDA hudhania vya MGOGO wa DODOMA wanavijua,...
......ndio hicho moja YA kitu kimoja katika ya binadamu hasa adhaniapo KAMALIZA na anajua KITISHAVYO.....

.....kwa kuwa kwa kawaida katika KUJUA kwako KITU kwa asilimia MIA inaweza kuwa uonacho na kukifahamu KIUKWELI WA JAMBO BADO ni asilimia MBILI ya HICHO KITU na ndio maana swala la kujua kitu kila siku hubadilika UKIBADILI MTU na HILO ndilo LITISHAVYO.:-(

Swali:
  • Si umeshajua kwa kujua kitu``UKIFIKIRIA´´ ndio uwezavyo kujua zaidi jinsi usivyokijua KITU?
  • Lakini unafikiri ukijua una UKIMWI ndio UTAUOGOPA ZAIDI UKIMWI?
NI WAZO TU MKUU!





Hebu ROY AYERS alete-Black Familly


Au tu Isaac Hayes alete-Hung up on MY BABY

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP