Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tukirudia kuangalia SWALA la kuonja MARA MOJA au MTU aliyewahi KUONJA MARA MOJA!

>> Friday, December 04, 2009

Ukionja mara moja,....
... ni rahisi kujidanganya UMEFUDHU na unajua UTAMU kwa kuwa ni kweli UMEWAHI KUONJA!




Na ni muhimu katika dunia hii ya wasimuliaji wengi wa UTAMU hata WA waliyowahi KUONJA mara moja,....

..... kujua ni rahisi kusahau kuwa kila aliyeonja si MTAALAMU WA LADHA ingawa ni kweli kawahi KUONJA.:-(


Swali:
  • Unafikiri aliyewahi kuungua hata mara tatu ni mtaalamu wa maumivu ya kila aliye wahi kuungua angalau mara moja?

  • Si Mama Ntilie apikaye maharage yale yale analazimika kila ayapikavyo kuyaonja tena kwa sababu pamoja na kujua kupika yeye ni Mtaalamu wa ya maharage ladha?

  • Ukionja huwa unataka kujua ladha au ni kwa sababu unajua ladha?
  • Huwa WEWE unauhakika na UTAALAMU WAKO WA LADHA YA ONJO baada ya kuonja MARA MOJA au na wewe ni mwenzangu na miye upataye faraja kwa kurudiarudia KUONJA?


NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!


Ngojea FELA KUTI aendelee na- JUST like DAT

Au tu FELA KUTI alete na -UNNECESSARY BEGGING

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP