Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MIKOGO ya JALALA!

>> Thursday, December 03, 2009

Jalala ni JALALA,....
..... kwa adhaniaye kifikira zake TU analijua ni nini kwake ni JALALA!

Tafsiri ya JALALA,....
.... kama ni JUNGU limwagiwalo UCHAFU , basi JALALA laweza tafsiriwa MPAKA kuwa watu kibao mpaka yule mpenzi asiye kinuka mkojo , - uwajuao ni JALALA.:-(

Swali:
  • Unabisha?

Lakini kitiacho moyo ni kwamba JALALA lako kwa mwingine ni KIWANDA cha MBOLEA.

Lakini kitiacho maumivu pia ni kwamba JALALA bado kwa wengi tu HAPA DUNIANI ndio KAZINI na WAOKOTEAKO chakula katika KUJARIBU KUSAWAZISHA siku ipate kuendelea.:-(


Na katika MIKOGO ya swala zima la JALALA,....

.... ni kweli WAKATI labda WEWE ukisikia jalala unafikiria UCHAFU kumbuka KATIKA HILO kuna aonaye, ridhiki na hata MPENZI , .....

.....na kwa hilo ndio maana yote UYAJUAYO yapo kwenye la mtu HAPA DUNIANI hata kama sio lako yaweza kuwa kama sio uchafu basi ni JALALA .:-(


Swali:
  • AU?

NI wazo tu hili MKUU wa KITENGO!


Hebu FELA KUTI aanze na -Let's Start


Au tu FELA KUTI atulize kwa -Mr Grammarticologylisationalism is the Boss

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP