Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati kunahisia za MTU kuwa ni kweli : ``HUNA HAMU ya KUTOMBWA leo!:-(´´

>> Saturday, December 19, 2009





K
ama una HAMU mpaka ya kwenda MBINGUNI LEO ukifikiria vizuri,...

.... HIYO HAMU yaweza KUWA yafanana na jinsi ufikiriavyo KUJIUA leo.:-(






Swali:
  • Unauhakika ni kweli huna hamu ya kutombwa leo, kama ni kweli hata unajua na HUWA unapatia KUTOMBWA weye?

  • Unabisha au unafikiria tu kwa kuandika KWANGU neno kutombwa katika kichwa cha HABARI labda kwa hilo huna uhakika bado sijatukana?:-(



Na WAKATI tuangaliacho mpaka katika zaidi ya sentensi ni ; ``SINA HAMU ya kukutomba´´....


...... labda bado ni kweli KUNAUWEZEKANO katika ujuayo ya kutombwa katika hilo WEYE huna KITOMBEO na,...

..... labda pia NI KWELI hamu ya kwenda MBINGUNI kama tu hamu yako ya KUTOMBWA ukiisikilizia vizuri ,...

...LABDA,....


....

WAKATI HUO usikiliziavyo unaisikia au kuihisi ,....


.....WAKATI HUO ladha yake ihitajiyo BINZARI wakati haina BINZARI.:-(





Swali :

  • AU?


Na wakati una HAMU ya KUKATAA TU KULA VIZURI,....
......kama wakati unakataa CHAKULA ulikuwa na njaa vizuri ,..
.
... KUNAUWEZEKANO MKUBWA wakati HUO unakataa kula UKATAACHO KULA wakati huo sio hicho CHAKULA.:-(





Swali :
  • Si unajua kunauwezekano MKUBWA huelewi naongelea nini?:-(

Ngojea tu NIACHE WAZO na ni RUKSA kufikiri kunatusi katika NENO. Mheshimiwa!:-(


Ngojea basi JOSEPH COTTON abadili kwa kudai -Things RUNNING SLOW.






Au tu MAXI PRIEST amzungumzie-TEMPTRESS




Au tu SHABA RANKS amrudishe dokta katika-Champion Lover

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP