Unauhakika na USIRIASI wa ufikiriaye ANAONEKANA yuko SIRIASI?
>> Saturday, December 12, 2009
[Tahadhari: Ili uelewe hii NYOKO unahitaji KUFIKIRIA:-(]
Binadamu ni MABINGWA wa kuchekeana ,...
... ingawa KATIKA UBINGWA huo KUNAANAYECHEKWA:-(
....
Na kama uko MAKINI utastukia akuchekeaye anaweza AKAWA katika CHEKO HILO akukenuliavyo meno hata yasiyopigwa mswaki ,....
Naacha TOPIKI na nakatizia hapa WAZO!:-(....
Na kama uko MAKINI utastukia akuchekeaye anaweza AKAWA katika CHEKO HILO akukenuliavyo meno hata yasiyopigwa mswaki ,....
.....LABDA huyo  na hapo, NA HAYO  yote ni KATIKA  tu KUKUCHEKA katika  hilo,...
.... ingawa NA HILO kama  LILE  pia  ni kama la  LA YULE, huyu  na  hata HUYO  pia ndio maana ulidhani ni kawaida likikenuliwa meno na udhaniao ni WAJANJA,....
...basi hata kama NI HUYO mwenye kidude na anachekelea DUDE au tu LILE lenye KUNUNIWA na wengi KWAKUWA lina LILE ,...
........Labda HILO la huyo katika LILE na yule asiye HUYU ,....
...LABDA na HUYO kama tu umdhaniavyo yule ,....
... NA KATIKA HILI....
...basi hata kama NI HUYO mwenye kidude na anachekelea DUDE au tu LILE lenye KUNUNIWA na wengi KWAKUWA lina LILE ,...
.....KATKA HILO, .... 
...hitaji lake  hilo NA lile  hata KAMA TU ni LA   kununiwa , .....
........Labda HILO la huyo katika LILE na yule asiye HUYU ,....
...LABDA na HUYO kama tu umdhaniavyo yule ,....
.... HUYO na hilo , au tu tukiongelea HILI kwa kutumia kielelezo cha HUYO, huyo   PIA kibinadamu anaweza akawa ni bingwa a.ka.PROFESA wa  kununia pia   SHUGHULI  SIRIASI au wajanja waaminio ni SIRIASI    siriasli IKIBIDI bila  hata SABABU!:-)
Swali:
- Unauhakika udhaniaye anakuchekea kwa CHEKO HILO ULIHUSUDULO ,UKICHEKELEWA NA HILO bado hudhani HILO katika KICHEKO sio TU ni dizaini yake TU ya hilo ILI AKUCHEKEAYE ya kukucheka usistukie ANAKUCHEKA hata kwa wako UNADHIFU kwakuwa labda unafaa kuchekwa??
Ndio katika USIRIASI wa binadamu ,....
.... bado ni kweli WATU wengi kikweli a.k.a BILA UNAFIKI ,  wako siriasi   ZAIDI  NA JUHUDI  YA SHUGHULI  ya haja kubwa chooni ambayo ILIWAPELEKA CHOONI  kuliko HATA  utaalamu wa JUHUDI WAONYESHAZO katika SHUGHULI ZA UTULIVU  uhitajikao  KANISANI KUMSIKILIZA PADRE au MSIKITINI wakati Shekhe anatoa mawaidha,  kwenye ubarikio,kwenye MKUTANO wa  mchango wa misiba, kwenye semina  za BANANGENGE  au tu HATA  wakati wako hukohuko chooni ila safari hii  huko chooni  wafanyacho ni KUKOJOA!:-(
Swali:
- Kwani unafikiri wewe unakonsentresheni kubwa ZAIDI katika kusikilizia ya WAZAZI au MWALIMU wa HESABU kuliko ya YALE UFANYAYO wakati unahakikisha HAJAKUBWA inatoka katika tobo la mwili wako SAA HIYOHIYO chooni au tu porini uchimbako dawa ?
- Unauhakika kweli akununiaye KIUSIRIASI kanuna kikweli wakati unajijua HATA MWENYEWE nunazako BWELELE mara kibao ni danganyatoto?- AU?
NIMEACHA lakini KUMBUKA ni wazo tu hili  SOMI MHESHIMIWA  Mwenye BONGE la digirii , HUNA GOVI /huja KEKETWA , UNABONGA UNG'ENG'E , KATIBA YA CCM UNAJUA  na pia kama tu MILA na desturi zenu KWENU za HESHIMA unaheshimiwa !:-(!
Naacha UTANI lakini KUMBUKA NI WAZO TU HILI hapa kijiweni MKUU.
na huhitaji kuelewa kama kistaarabu kwa kawaida YAKO wewe NI KAWAIDA HUWA wewe ni MGUMU KUELEWA:-(
Ngojea  twende CUBA Mongo Santamaria alete-Drums & CHANTSna huhitaji kuelewa kama kistaarabu kwa kawaida YAKO wewe NI KAWAIDA HUWA wewe ni MGUMU KUELEWA:-(
Tubaki CUBA Mongo Santamaria aendelee na kitu- Me & U Baby
Au tu Mongo Santamaria amalizie na -Watermelon Man
 
  
 Posts
Posts
 
 




3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Hilo nalo neno! Hujawahi kushtukia kuwa konsentresheni kubwa ipo pale unapokata gogo kwa mcharazo a.k.a kuendesha a.k.a kupoteza ufunguo?
@Papaa Fadhy: :-)
Duh! nilikuwa nimeanza kufikiria umeondoka katika dunia hii. Inafurahisha kuingia hapa kibarazani na kusoma tena maandishi yako:-)
Post a Comment