Labda ZOEZESHA WATU mara kwa mara kwa KUJAMBA KIDOGO kama unauhakika mbeleni UTAKUNYA!:-(
>> Friday, December 04, 2009
[Tahadhari: Tararila hii INA dalili za  tisha toto!]
Binadamu kama ujuavyo wanatabia MBAYA,...
..... na kwa hilo pamoja na yote WAJUAYO cha AJABU BADo wanahitaji jambo moja tu ambalo hawakuhusianishi nalo likutokee ili WASAHAU MENGINE YOTE YAKO na kukumbuka WEYE kwa hilo.
Kwa hiyo kama wewe sifa zako ni BONGE la MLOKOLE/Mswahilina  na ni kweli hauna tabia MBAYA,.....
.....kumbuka JINSI BINADAMU a.k.a MTUZ zilivyo NA TABIA MBAYA,.....
... inahitajika  unadakwe KWA KITU KIMOJA TU au  mara moja TU, - kwa mfano  ukitokea gesti hata ya SHANGAZI  YAKO WATU WASIOMJUA waishio machangudoa- WAKATI WEWE  ni kweli SIO CHANGUDOA ,-  au tu UDAKWE kwenye picha na KIDEO  mara moja tu ILE uliyoingia majaribuni ,- ILE SIKU AMBAYO  kwa jitihada zako za kutaka uolewe ikabidi UAMUE KUKUBALI  uonjwe kidogo na lijamaa mara moja TU  kwa kudhani KWA HILO   utaharakisha ndoa  kwa KUMUONJESHA  shemeji  yetu mtarajiwa( akilini mwako) huku ukijipa moyo  utatubu baadaye akichukua jumlajumla .............na kwa bahati mbaya NI HILO TU laweza HITAJIKA  na kutosha - ili MTAA MZIMA ubadili mtazamo na kukuona mwanakwetu ni BONGE la MALAYA  wakati  UKWELI WENYEWE  WALA SIO HUO   na  ni kweli weye bi BONGE LA MCHOYO na  kwa UNYIMI  jamii isiyothamini MCHANGO WA KUJENGA TAIFA wa WAGAWAJI ingebidi hata IKUPE MEDALI  kwa hilo.:-(
Swali:
- Au?
...kumbuka kuna watu  wenye roho mbaya waliofanya jambo moja tu kwako jema  uwakumbukao kuwa ni wenye ROHO NJEMA halafu  KIBONGE.
 Lakini ,........kumbuka kuna watu wengi wema na kwa bahati mbaya ulipokuwa na hitaji  kubwa  KWAKO ndio siku walikuwa hawana ingawa wanajulikana kwa kuwa nalo TIBABU LA HAJA YAKO  HATA YA UPUPU -  na hilo moja mara moja ndilo likufanyalo uwaoanishe na ROHO MBAYA halafu   KIBONGE.:-(
Sasaaaaaaa!
Swali:
- Unafikiri labda kama unajulikana KWA KUTOKOSEA , -Hivi si vizuri kuwazoesha watu kwa kukosea kidogokidogo mara kwa mara iliwasishitushwe ukifanya bonge la kosa?
- Kwa hiyo umenielewa sasa namaanisha nini nisemavyo kama unajua KIBINADAMU ipo siku utakunya ni vizuri kuzoeza watu kwa kujamba kidogo KWA ADOADO mara kwa mara?
- Unafikiri stori ya Tiger WOODS kuonja nje ya ndoa ingekuwa kubwa sana kama angejulikana kuwa pamoja na sifa zote ZA APATIAYO bado anakasoro tu kama andunje wowote wengine?
NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!
Hebu Fela Kuti aendelee kwa-Army Arrangement
Au tu Fela Kuti alete na -Fear not For Man
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment