Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Nachofikiria WAKATI naangalia UNACHOANGALIA,....

>> Tuesday, March 22, 2011

.... ndio ,...
.... kinaweza kuwa TOFAUTI.:-(

Swali:
  • SI unajua kuna aangaliaye mdada  KIBONGE kama njemba tu yenye bonge ya KITAMBI na kuwaza uzuri na ULIMBWENDE  wa huyo TIPWATIPWA wakati  kuna mwingine wakati huohuo akimuangalia huyohuyo  BWANYENYE bonyebonye na afikiriacho kwa UNENE WAKE ni magonjwa na sio ULIMBWENDE wala uzuri wa huyo AJUZA -kitu kimfanyacho afikirie jinsi ya kumshauri apunguze UNENE  ili awe na afya njema?




Ndio,...
.....wapigao chabo mchezo huohuo wa unyumba hawafikirii SAWA,....
..... na ndio maana ajali ikitokea BONGO sio wote wakimbiliao palipotokea ajali wanakwenda kuokoa watu  ukizingatia wengine wafikiriacho ni DILI LA  kusachi maiti mawaleti  tayari wakiwa na mipango ya kutanua baadaye BAA kama ikitokea waliofariki ni wengi na walikuwa wanasafiri na NGAWIRA pesa za kutosha kwenda kwao huko uswekeni .:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(



Hebu tubadili wazo hili nishai kwa kuangalia mazoezi ya mchezo wa  GOLF  kiduchu.....




Au tukadeku tu tena Aerobics



Kama vile ujinga haukutosha vile....:-(



OK imetosha sasa!

SIKU NJEMA!:-(

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:22 pm  

Hakika watu wana mambo yaani basi tu Siku njema nawe pia Mtakatifu....

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP