Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Nyerere Day 2011 in Washington DC

>> Sunday, October 09, 2011

Maadhimisho ya nne ya kuenzi maisha na kazi za Mwl Julius K. Nyerere yatafanyika Oktoba 15, 2011 hapa Washington DC. Mmoja wa waasisi wa Julius Nyerere Comemoration Bwn Rick Tingling akielezea maandalizi ya siku hiyo katika video hapa chini



NYOTE MNAKARIBISHWA!
Itafanyika:
Howard University Basement Auditorium
725, 2225 Georgia Ave, NW, Washington, DC 20059
FROM 3PM-6PM

MAELEKEZO KUELEKEA Howard University Hospital Basement Auditorium:

  • Ingilia mlango wa mbele wa Hospitali unaotazamana na Georgia Avenue.
  • Pita kwenye dawati la maelezo kwa utambulisho
  • Endelea mbele mpaka kwenye "lift" zilizo kama yadi 50 toka dawati la mapokezi.
  • Chukua "lift" / elevator kuelekea sakafu ya chini (basement).
  • Elekea upande wa kulia ukifuata alama zinazoelekeza ulipo ukumbi.



BARAKA KWAKO NA ASANTE KWA USHIRIKIANO!




AMBATANISHO: MAELEZO KUHUSU MAADHIMISHO HAYO.
NOTE: Mabadiliko pekee niliyojulishwa ni kuwa Balozi Mwanaidi Maajar hataweza kuhudhuria kwa kuwa atakuwa nje ya mji.




4th Annual Julius K. Nyerere Commemoration

On Saturday, October 15, 2011, the Julius K. Nyerere Commemoration committee will convene its 4th Annual program commemorating the life and work of Julius Kambarage Nyerere at Howard University Hospital auditorium from 3:00 – 6:00 pm. The Tanzanian Ambassador Her Excellency Manaidi Maajar was a featured guest at last year’s program and has been invited to address the commemoration again this year. The exciting program will feature drumming by Ngoma Na Rafiki, as well as performances by Maryland’s Taritibu Youth Association. Featured speakers will include, among others, Dr. John Rutayuga of Ukimwi Orphans Assistance, Dr. Baruch of Everlasting Life Health Complex, Wisson West of Serengeti Gallery, Elvira Williams of AHEAD and Jessica Mushala of S.H.I.N.A. will be Mistress of Ceremonies. The program will also feature a Tanzanian style auction of African art, and for the 3rd year in a row be catered by Caroline’s Kitchen.

Who was Julius Kambarage Nyerere and why should we commemorate his life and work? Simply put, he was a man who built a political career fighting poverty, ignorance and disease – and winning.

This program was begun by local activist and admirer Rick Tingling-Clemmons in collaboration with a number of Tanzanians to commemorate the life and work of Julius Nyerere, the first President of Tanzania, who was a visionary leader – kind, astute, a dedicated educator who led the nation to adopt Swahili as a national language and embraced the title Mwalimu, which means teacher in Swahili, and implemented Ujamaa – Swahili for collective work and responsibility. He authored several books; was a tactician and a pan-Africanist who materially supported many of his fellow African nations’ liberation movements.

Commemorating his life should be seen as one of the keys that will unlock the miseries of today’s woes as we fight against poverty, ignorance and disease the world over.

We encourage you to attend this family-friendly life-affirming event.



Nimetumiwa na:
Mubelwa T. Bandio

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP