Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna sababu Kichwa, NYONYO au hata KORODANI ingawa ni nzito kwa kawaida kwa MTU hivyo sio MZIGO!

>> Friday, October 21, 2011

KAWAIDA!
 Na  kwa kawaida kama mdada anaanza kuumwa MGONGO kisa  uzito wa NYONYO,....
... kama tu  kwa ALWATANI  ambaye kikorodani  mwendo siku hizi taratibu  kisa BUSHA  na  makende yamegeuka MZIGO,...
..... huo ni ushahidi tu  huyo Bin'ADAM abebacho  huyo  si KAWAIDA.:-(

Swali:
  • SI kwa kuwa ni kawaida ndio maana Bin' Adam huwa hastukii kwa kawaida uzito wa hata  KICHWA  chake ingawa  kwa kawaida BICHWA ni kilo kadhaa kiuzito?

Ndio,...
..... kama kwako hicho KITU  kwako ni MZIGO,...
.... hata kama kwa jina hicho kitu ni MME WAKO,...
.... labda  tayari hicho kitu  si KAWAIDA na JIVUE GAMBA Mwanakwetu  hasa kama  kwako  hilo si DHAMBI.

Swali zaidi:
  • Lakini  si  inakumbukwa kuna mambo mengine kusikia UZITO kwayo ndio KAWAIDA?
  • Lakini si NZITO  ni kawaida ikiwa NZITO pia?

Ndio,...
.... labda pia kama KITU kimebebeshwa mpaka MIMBA na bado uzito ni uleule,...
... katika hilo   sio KAWAIDA,...
... kwa kuwa kuna vitu hata kama KIUZITO ni kimaumivu,...
.... labda BINADAMU huhitaji kukumbuka kuwa hiyo ndiyo kawaida,...
.... kama tu ilivyokuwa kama unaungua na husikii MAUMIVU hiyo si KAWAIDA!:-(

Ni wazo tu hili  lilipopinda na kupiga U-turn kiaina  MHESHIMIWA!
Ijumaa na WIKIENDI njema KIMAHUDUSHI PANGALA Mheshimiwa!

Hebu  tubadili wazo tena kwa msaada wa SAM Mangwana katika kibao-Bana ba CAMEROUN



Sam Mangwana aongezee tena dozi kwa -KABIBI



Samba Mapangala aingilie kati kwa ku- Vunja Mifupa


Pepe Kalle akatizie tena denge nakuachia  tena-MOYIBI



Halafu PEPE KALLE azime kibatari kwa -Gérant


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP