Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Mengi ni RAHISI kwa MTAZAMAJI tu asiyehusika , na muhusika ndiye labda ajuaye ni kwanini pamoja na kujua mabaya ya UMALAYA haachi UMALAYA!

>> Friday, October 28, 2011

Na ingekuwa RAHISI,..
... labda kila MTU angekuwa kama WEWE!

Na ingekuwa RAHISI,...
... labda wote wangeaamini  UAMINICHO.

Na ingekuwa RAHISI ,...
.... labda  kila mtu angefanya,...
... na afanyacho kingefanywa ufikiriavyo ni RAHISI.

Swali:
  • Si ushastukia KUKOSOA WENGINE na MENGINE ni RAHISI na ndio maana karibu  kila mtazamaji MPIRA WA MIGUU hudai anajua KOCHA anakosea wapi na aliyepiga mpira nje ya goli  ni mzembe kwa kuwa ingekuwa  yeye  goli lingeingizwa kizimbani?

Ndio,...
... labda MENGI  ni MARAHISI kimtazamo tu,...
... hasa kwa wale WASIYOYAKABILI!:-(
Ni mtazamo tu huu  MHESHIMIWA!:-(


Ghafla hebu Do Not Call Morgan Freeman "A Man of God"!



Hebu Amadou na Mariam waanzishe kwa - Je pense a toi




Amadou na Mariam warudie pia - Djama




Au tu Lady Ponce abadili mchezo kwa - Les Hommes

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP