Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MSIBA wa MTANZANIA mwenzetu MZEE SAID MUHAMMAD SIKAMKONO

>> Thursday, October 13, 2011



Tunaskitika kuwataarifu kuhusu kifo cha Mtanzania mwenzetu Mzee Said Muhammad Sikamkono kilichotokea juzi tarehe 11/10/2011 mchana katika hospitali ya Queen Elizabeth, Woolwich, London.

Mipango ya mazishi inaendelea na mtaendelea kujulishwa. Kwa wakati huu ambao tutakuwa tunasubiri kupata taarifa ya mazishi, mwenye kuweza kuchangia chochote au mwenye kuhitaji kujua zaidi kuhusu msiba huu, tunaomba awasiliane na;

Sheikh Ayub kwa namba; 07944930708

AU

Said Surur kwa namba; 07538063536

AU

Mr. Haruna Mbeyu kwa namba; 07813539025.

“MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU SAID MUHAMMAD SIKAMKONO MAHALI PEMA. MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA, JINA LAKE LIBARIKIWE”

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP