Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUfanya MAKUSUDI yasemekana inahitaji dhamira kama tu ihitajivyo UMAKUSUDI!

>> Wednesday, October 26, 2011

Na kwa kuwa inaaminika yahitaji dhamira na MAKUSUDI kufanya hata JAMBO DOGO liwe  nI KUBWa kwa MTU,....

...yasemekana pia WASAHAUO kustukia MENGI MAKUBWA,...
... hutokana na kwa kuwa kwao KUBWA  na DOgo  hata kisiVYo kiusengwili,...
.. labda waMEZoe kwa kuwa katika JAMII maDOGO hugeuzwa MAkubWA kisa siKU HIzi dogo hata kama  ni la MTU anajiremba vipi labda ni kubwa kuliko huyo mtu anaaminije  MBWA kuliko MUngu.:-(



Ndio,...
... laBDA HATA KWA KUTOSTUKIA KITU SASA,...
... KUMBUKA lionekanalo kubwa labda limekuzwa tu ukubwa hata KIMAKUSUDI,...
.. na kunawasahauo MENGI MAKUBWA labda kusahau kwao  hutokana TU na kutostukikia tu  kwa watu kuwa  DOGO wanaligeuzaga kuwa KUBWA kwa kuwa hakuna KUBWA lisilo na misingi la uzanialo ni DOGO kwa bahati MBAYA.:-(

Ni wazo tu hili KAMANDA!



Hebu ALI KIBA adai -Usiniseme

Ali Kiba aendelee katika - Nakupenda


Au tu hebu tena MIGHTY SHADOW abadili tena mchezo mzima kwa- Dingolay


Mighty Shadow alete madai ya- Stranger



Mighty Shadow arudie tena  - Yuh Lookin Fuh Horn





Mighty Shadow aongezee tena ndude- De Garden Want Water



Au tu SHADOW tu huyuhuyu azimishe mstukio kwa - Poverty is hell

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP