MKUU WA MKOA WA MBEYA ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE SONGWE MBEYA
>> Wednesday, October 26, 2011
![]() |
| Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya kiwanja hicho |
![]() |
| Meneja wa kiwanja cha ndege mkoa wa mbeya Ezekia Mwalutende akisoma taarifa ya ya ujenzi wa kiwanja cha ndege songwe Mbeya |
![]() |
| Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akiwasisitiza wakandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege songwe kukamilisha ujenzi uwanja huo kwa muda uliopngwa |
![]() |
| Hili ni jengo la abiria likikamilika linauwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa saa |
Picha zote na: www.latestnewstz.blogspot.com








0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment