Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna sababu WATU huongea tu,....

>> Tuesday, October 18, 2011

.... kwa wengi kugeuza kivitendo waongeleavyo ,...
.... hiyo ni shughuli nyingine kabisaa!:-(

Swali:
  • Lakini umestukia si kila kitendo chahitaji ushawishi na kujituma sana kama ukichukulia mfano wa walevi katika kugeuza maongezi ya pombe kuwa kitendo cha kunywa pombe au wapendao uasherati kimaongezi kuyasawazisha kwa ufanisi na umakini kivitendo?

Ndio,....
... labda kuna sababu sie wengine kwa MENGINE ,....
... tunaishia kuongea tu,...
... kitu ambacho kirahisi huishia kuwa ni MANENO MATUPU tu!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu turudi Haiti ili Michael Benjamin arudie - Ou Pati



Au tupitie tena Madagascar ili MAMEHY wadinye-Madranto valin'olo




Halafu hapahapa MADAGASCAR Vaiavy Chila azime kwa - Nagnini Anao Moa Zaho


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP