Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

TAARIFA YA MAZISHI ya Marehemu MZEE SAIDI MUHAMMAD SIKAMKONO.

>> Thursday, October 13, 2011



Rejea taarifa ya msiba wa Mzee Said Muhammad Sikamkono.

Mazishi yatafanyika LEO   tarehe 13/10/2011 katika makaburi ya Hainalt Garden of Peace saa nane mchana. 

Ila kabla ya makaburini tunaombwa wote tufike msikiti wa Sakina Walthamstaw (basi namba 179) saa sita na nusu mchana.

Msiba uko nyumbani kwa marehemu Woolwich Dorkyard ambako wote tunakaribishwa muda wowote kujumuika na familia ya marehemu wakati huu wa majonzi .

Wakina mama pia wanaweza kufika msikitini au nyumbani kwa marehemu kwa ajili ya kutoa pole.

Address ya sehemu ya msiba ni;

Woolwich Ferry
405,Frances Street, London.
SE18 5JU.

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na:


Haruna Mbeyu:07813539025 
AU
 Abdallah Mdidi: 07766454596 

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP